Mchele kilo 1
Mchanganyiko wa mboga mboga vikombe 3(nimetumia mahindi machanga, njegere,maharage machanga,karoti.)
Bizari nyembamba/uzile kijiko 1 cha supu
Pilipili manga kijiko 1 cha chai
Curry powder kijiko 1 cha chai
Kitunguu saum kijiko 1 cha supu
Mafuta ya kupikia vijiko 5 vya supu au zaidi
Chumvi
Kitunguu maji 1
Kosha mchele utie maji weka pembeni ,kwa dakika 10 hadi nusu saa ,umwage maji
Chemsha maji kwenye sufuria yakichemma tia mchele koroga Wacha mpaka uwive kiasi (usiwe mlaini sana na wala usiwe mgumu sana) mwaga maji weka pembeni ,au uchemshe na maji kiasi yakikauka na mchele uwe umewiva kiasi haina haja ya kumwaga maji , Kama mchele umewiva kuna maji yamebaki chuja maji kwa chujio na uweke pembeni (wali)
Teleka sufuria kwenye moto tia mafuta kiasi ya kukaangia yatoshe pamoja na wali ,kaanga kitunguu maji mpaka kiwe brown, tia mchanganyikowa wa mboga mboga , kitunguu saum ,tangawizi , spices na chumvi , koroga wacha mpaka karibu vinakaribia kuwiva , tia ule wali ulioupika koroga kidogo kidogo uchanganyike na mboga mboga ,funika sufuria wacha uwive kwa moto mdogo mdogo au pambia unavyopenda .
Kwa recipe ya kuku angalia post inayofata .
ENGLISH
Rice 1 kg
Mixed vegetables 3 cups (sweetcorn,greenpeas,carrot,green beans)
Cumin power 1 tbsp
Black paper 1 tsp
Curry powder 1 tsp
Garlic paste 1 tbsp
Cooking oil 5 tbsp or more
Salt for taste
One large onion
Soak rice and leave it for 10 to 30 minutes, rinse well
In a pot ,bring the water to boil, add rice stir well , cover the pot and let it cook until the rice is half cooked, there should not be any water left, if there is still water left in the pot and the rice is done tilt the pan and drain it using a strainer and leave it aside
In a pot heat the oil, add chopped onion , fry until brown , add mixed vegetables, garlic,ginger spices and salt ,stir and leave until almost done , add cooked rice stir gently ,cover the pot and leave it in a low heat until done.
For chicken recipe ,see next post